UHURU WA BANDARI PWANI.
Photo Courtesy: Kenya Ports Authority
Kufuatia kuhamishwa kwa baadhi ya shughuli za bandari kuu ya Mombasa hadi Naivasha mwaka wa 2015 kuliendelea kuripotiwa malalamishi mengi kutoka kwa wananchi haswa wakaazi wa mji mkuu wa Mombasa, wanaofaidi moja kwa moja kutoka kwa bandari ile.
Baadhi ya shughuli zilizoweza kuhamishwa moja Yao ilikuwa sehemu ya kuhifadhi makashani na ya pili ilikuwa Ni ofisi za kusafisha na kusambaza mizigo bandarini.
Walioripotiwa kuathirika zaidi walikuwa ni wenye mijengo iliyosheheni ofisi hizi,wachuuzi wa vyakula,madereva pamoja na ushuru kwa kaunti.Taasisi iliyofaidika zaidi ilikuwa Ni reli ya usafirishaji mizigo kutoka bandarini Hadi Naivasha. mnamo tarehe 13 Septemba hatimaye nuru ilionekana kwa wakaazi wa Mombasa na pwani kwa jumla.
Hii ilikuwa baada ya Rais William Ruto kitimiza ahadi aliyokuwa amewaahidi wapwani ya kirudisha shughuli za bandari mjini Mombasa.Kwa sasa baadhi ya shughuli hizo zinafanyika mjini na wakaazi wa Mombasa walifurahishwa na jambo hili. Uchumi wa kaunti ya Mombasa inatarajiwa kuimarika zaidi.



Informative
ReplyDeleteNakala safi bro👊
ReplyDeleteKazı safi
ReplyDeleteKazi safii hiyo
ReplyDeletenakala safi
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteUandishi murwa
ReplyDeleteSafi bro
ReplyDeleteNakala nzuri sana
ReplyDeleteKazi safi kaka
ReplyDeleteGood work
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteYaelimisha
ReplyDelete🔥🔥🔥🔥🔥
ReplyDeletekazi safi
ReplyDeleteKali
ReplyDeleteNakala nzuri
ReplyDeleteKazi safi KBK
ReplyDeleteBandari ya Mombasa ndio kitovu cha wapwani
ReplyDeleteKazi nzuri kaka
Kazi nzuri hio
ReplyDeleteKazi nzuri
ReplyDeleteSwadakta
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeleteSafi
ReplyDeleteHongera
ReplyDeleteTrue 👍
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDeletekazi safi
ReplyDeleteSawaaa mkuu👏👏
ReplyDeleteGood
ReplyDeleteGood
ReplyDeleteIko sawa sana kaka
ReplyDeleteWell articulated
ReplyDelete